1
Nataka kata
Utepe, Kwanza radhi mnipe.
Mchana kuko
kweupe, Machoni nisiwakwepe.
Uone nina Pelepe,
Rohoni kwangu mweupe.
Si Madenge si
Kipepe,Viongozi msisepe.
Own Thinking Tank
Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...
Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.
Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.
Nelson Mandela (18 Julai 1918 - 05 Disemba 2013)-Na KEVIN BLOOM |
Newly crowned Miss World Tanzania 2014 Happiness Watimanya |
Happiness Watimanya Miss World Tanzania 2014 (C) and her runners-up |
Mtu kwao bwana, mambo ya kanga, chai,"gahwa" na kadhalika, watu twaonja tu! Ukigundua kanga imeandikwa nini utakubali kuwa watanzania tumelala. |