KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Wednesday, February 27, 2013

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012-TANZANIA



 "LAWAMA HAZIJENGI, 
TUACHE KUENDEKEZA FIKRA MBOVU"

Ni vema kuanza kwa kujipa pole kama watanzania kwa mlipuko wa matokeo, ya kushangaza kiasi cha kufanya nchi na hata pengine Dunia kupigwa na butwaa! Maji yamekwisha mwagika, na hivyo ingekuwa vema mitandaoni kujae jinsi ya kutatua tatizo na sio maneno ya kashfa kwa viongozi na kunyoosheana vidole

Monday, February 25, 2013

SIMBA SPORTS CLUBS - "Yaani mimi, Simba inapovurunda ndio naipenda sanaaaa!"



TUJENGE UWANJA KWANZA


TAIFA KUBWA 
NI


“MPIRA BORA KWANZA , MAGOLI, UBINGWA BAADAE”

USIYETAKA HILI HAMIA YANGA

Nakumbuka ilikuwa mwaka 1989, wakati naamini,ndio hasa nilipoweka sahihi ya kuwa nitakuwa mshabiki wa WEKUNDU MSIMBAZI MPAKA KUFA KWANGU. Hii ilikuwa ni baada ya kuwaona wachezaji kama Dan Mhoja, kama sikosei pia John Makelele akitokea benchi. Wengine Mtanisaidia mliokuwa

Sunday, February 17, 2013

Kilimo Kwanza: Ni Kauli Mbiu ya Msingi kwa Taifa?



 Watanzania tunahitaji kufahamu Imani na Misingi ya Taifa Letu.
Misingi ya Taifa letu ndio Roho ya Taifa Letu.
Kuilinda na Kuboresha Misingi Yetu,Ndio Kulinda na Kuboresha Taifa Letu


Umuhimu wa misingi sio tu kwa taifa, bali hata mtu binafsi na familia ama ukoo. Lazima kuwa na misingi ambayo ndio dira ya matendo na maamuzi yako au yenu. Mara nyingi tunapokosa kuwa na Misingi Bora huwa tunaishia kuyumba bila kujua chanzo hasa cha kuyumba ni nini. Hatujui mchawi hasa ni nani!

Tuesday, February 12, 2013

Mtanzania Acha Mipango ya Ujanjaujanja

MAFANIKIO  BORA YANAHITAJI MIPANGO BORA KWANZA
Umuhimu wa mipango bora kwanza
Ukiona vinaelea Ujue vimeundwa. Ni kama kusema mambo mengi mazuri hutokana na kuumiza kichwa "Fikra Bora". Au Kupanga Kwanza ndio Msingi wa mafanikio. Kwa kweli Kubahatisha mafanikio katika

Sunday, February 10, 2013

BUILDING INFORMATION MODELLING (BIM - "BULL'S EYE" TO TANZANIA




 ACADEMICIANS AND PROFESSIONALS MUST ALERT THE GOVERNMENT
 Jiang, Xinan (2011) quoted National Institute of Building Sciences (NIBS 2007), that BIM is a computable representation of all the physical and functional characteristics of a building and its related project/life-cycle

Thursday, February 7, 2013

TANZANIA YAWA KENYA KWENYE MAONYESHO YA "AFRICAN DAY IN GERMANY"

"HAPA NI KENYA NA TANSANIA IPO HAPAHAPA"

Unaweza kuwa na kila kitu, ukikosa fikra bora umekwisha, unaishia kunufaisha wengine.
Watanzania Tuamke na Kuingia Duniani Kutafuta Sasa
Mtu kwao bwana, mambo ya kanga, chai,"gahwa" na kadhalika, watu twaonja tu! Ukigundua kanga imeandikwa nini utakubali kuwa watanzania tumelala.
Siku ya tarehe 26 mwezi wa kwanza, hapa Koln, moja kati miji mikubwa ya Ujerumani kwenye moja ya majumba ya makumbusho kulifanyika maonyesho, ambayo kwa mujibu wa hapa na pale ilikuwa ni siku ya