KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Friday, March 29, 2013

KATIBA YETU MPYA TUIPIMEJE UBORA WAKE?



 " IWE NA UWEZO WA KUTUFANYA 
TUUOGOPE UONGOZI , TUPENDE KUFANYA KAZI NA TULIPENDE TAIFA LETU KULIKO KITU KINGINE CHOCHOTE"

Maana yeyote ambayo mtu atatoa kuhusu katiba inaweza kwa namna moja au nyingine ikaangukia kwenye maana ya kuwa KATIBA ni MAKUBALIONA JUU YA MWONGOZO WA JAMII AU TAIFA FULANI. Huwa ni MSINGI wa MUAFAKA katika UTAWALAJI na UENDESHAJI, wa TAIFA au JAMII husika, na hata kikundi katika kufikia Mafaniko Bora. Pengine kutokana na uzito wake ndio

Saturday, March 23, 2013

"MLALA HAI vs MLALA HOI"



 "MLALA HAI vs MLALA HOI".


Mlala HAI kasema,
Mlala HOI kubali.
Mlala hai kisima,

Sunday, March 17, 2013

JESHI LA KUJENGA TAIFA, LAZIMA?!! KIVIPI?!!



MPANGO WA LAZIMA KUPITIA JKT, HAUNA MASLAHI MAKUBWA KWA TAIFA LETU

NUKUU YA 1.  KUTOKA KWA DEUDATUS BALILE, 04 March 2013 09:45  “http://modans.go.tz/site/index.php/jeshi-la-kujenga-taifa-laagizwa-kuajiri-vijana-wa-kujitolea-“
 
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ameliagiza Jeshi           la Kujenga Taifa (JKT) …………..Hayo aliyasema hivi karibuni alipotembelea  Makao     Makuu  ya  JKT,  jijini Dar es Salaam  ikiwa ni mara yake ya  kwanza  kwa  Makao Makuu             hayo kutembelewa na Rais  aliyeko madarakani tangu JKT ianzishwe mwaka 1963. 

Saturday, March 16, 2013

SALAMA JABRI :TUONGOZE WATANZANIA KUMPATIA TREKTA KING MAJUTO

Watanzania tuyatafute matatizo yetu  na kuyatatua badala ya kuyasubiri na kuyafanya DILI.

Mzee Majuto, sisi wengi tunamfahamu kwa vichekesho vyake vyenye maadili na mafunzo kwa jamii yetu. King Majuto kwenye kipindi cha Mkasi, cha Salama Jabri (SO5E12-with Majuto:http://youtu.be/bmTuxMSmRMY) aliongea vizuri sana, na kilichonivutia zaidi katika maongezi yake, ni PAMOJA NA

Sunday, March 10, 2013

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC): MAISHA NI NYUMBA NA NYUMBA NI PESA!



 "KAMA TUSIPOPATA FAIDA IMEKULA KWA WALALAHOI MARA MBILI"

NANUKUU Taarifa iliyotolewa na Shirika la Nyumba, ya 24/10/2012 kwenye uzinduzi wa uuzwaji wa nyumba mradi wa MINDU,Dar Es Salaam, “Kila nyumba itauzwa kwa bei ya TZ S 272,050,673.08 bila kodi ya ongezeko la thamani (VAT ) na  TZS 321,019,794.24 ikiwa na  kodi ya ongezeko la thamani  ( VAT )

Saturday, March 9, 2013

SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI



WA-BONGO TUPUNGUZE KUSHABIKIA SHEREHE ZENYE
 TIJA NDOGO KWA TAIFA LETU

"MWANAMKE NA MWANAUME WOTE MUHIMU NA KILA MTU ANA HAKI ZAKE NA WAJIBU WAKE, TUSIDANGANYIKE" 

Badi Abu Al-farouq akijibu kupitia ukurasa wake wa “Facebook” wenye mafunzo mengi sana ya DINI YA KIISLAMU alisema ,“ Juma Mpangule uislamu umemtukuza sana mwanamke Alikuja mtu kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) akasema: “Ewe Mjumbe wa Allah! Ni nani mwenye haki zaidi miongoni mwa watu kwa mimi kusuhubiana naye kwa wema?” Akasema: “Mamako”. Akasema: “Kisha