KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Thursday, September 26, 2013

USAFIRI - DAR-ES-SALAAM- Reli ni ukombozi wa MTANZANIA

 HONGERA JAKAYA NA MWAKYEMBE 
KWA KUITHAMINI ZAMANI

Rasilimali tulizonazo ni NYINGI na zinatosha SANA kututoa katika umasikini, kama tu tukiikumbuka ZAMANI yetu na KUITHAMINI.Tuache ubinafsi na tusiogope maumivu ya MUDA mfupi, ni kawaida mafanikio huja kwa JASHO.Reli ni zaidi ya mabasi yaendayo kasi, na pengine zingeboreshwa kwanza kabla, tena Tanzania nzima na sio DAR tu.

Mipango mingi Bungeni, Kumi asilimiani.
Wakuu wengi nchini, Masilahiyo mbonini.
Reli zetu za zamani, Anayeziua nani?

Wednesday, September 25, 2013

"Chancellor Of Germany" ni yuleyule Angela Dorothea Merkel

 Kashinda tena, kweli wanawake wanaweza!
Angela Dorothea Merkel



 Angela Dorothea Merkel (pronounced [aŋˈɡeːla doʁoˈteːa ˈmɛʁkl̩] ( listen);[1] née Kasner; born 17

Monday, September 23, 2013

WESTGATE CENTRE: YAVAMIWA! NA CHANZO BADO NI KIZUNGUMKUTI

Vyombo vya habari Afrika mashariki na kwingine Duniani,vinasikitishwa na kuripoti kwa mtindo tofauti kuhusu uvamizi ama utekaji nyara wa "SHOPPING MALL",kule KENYA. Cha ajabu, ukweli wa chanzo,

Sunday, September 22, 2013

MISS WORLD TANZANIA-Baadhi walalamikia Maandalizi

Newly crowned Miss World Tanzania 2014 Happiness Watimanya
Happiness Watimanya Miss World Tanzania 2014 (C) and her runners-up
 http://beautypageantnews.com/happiness-watimanya-crowned-miss-world-tanzania-2014/
 
BEAUTY PAGEANT NEWS Covering local, national and international beauty contests Photos of Miss Universe 2012 Olivia Culpo

Kwenye kurasa kadhaa za facebook, washabiki wamelaumu ZAWADI na BURUDANI kuwa hazikuwa na

Saturday, September 21, 2013

MBEYA CITY AGAIN

Kile kilichokuwa kikisubiriwa na wapenda soka wengi Tanzania leo kimetimia. Matokeo ya mchezo kati ya mabingwa kutandaza Soka nchini Tanzania, Simba Sports Club na Vijana machachari kutoka Mbeya, yamedhihirisha kuwa Mabingwa watetezi Dar Young Africans hawana haki ya kuidharau timu ya Mbeya City

Sunday, September 15, 2013

Mbeya City Yadhihirisha kuwa Inastahili kuwa Ligi KUU



 Mechi baina ya MBEYA CITY ya jijini Mbeya na YANGA yenye makao yake jijini Dar Es Salaam, zimetoka uwanjani na kukubali kuambulia pointi moja kila moja baada matokeo halali ya 1-1. 

Wednesday, September 11, 2013

MIGOMO YA WALIMU WA "CHEKECHEA" UJERUMANI

CHANZO NI NINI? TUJIFUNZE NINI SISI WABONGO?
 
Ni Kawaida kwa wafanyakazi wa kitanzania kuona MISHAHARA ndio suluhisho la matatizo yao! Pengine ni hivyo duniani kote kwa sababu ndio hasa chanzo cha kipato tegemewa.Lakini, chanzo kikubwa cha mtu kuichukia kazi mara nyingi sio, MSHAHARA, bali zaidi ni mazingira yaendanayo na kazi na hasa thamani apewayo mfanyakazi, kuanzia vitendea kazi mpaka heshima, maarufu kama MARUPURUPU. Hili

MADAWA YA KULEVYA-KULIKONI TANZANIA?

Madawa yenye kulevya, Nahisi Yametulevya.
Juma Sala na Kaluvya, Hakuna yasomlevya.
Tulilamba tukachovya, Tunajidunga  kilevya.

Monday, September 9, 2013

REALITY QUEEN OF SAFARI- Ina maana gani kwa Watanzania?

MALKIA WA SAFARI KUTOKA UJERUMANI, APATIKANA TANZANIA  

JULIA!!!!!!!!!!!!!!!!REALITY QUEEN OF SAFARI, ni kitu cha kihistoria kwa Tanzania. Fuatilia zaidi

Tuesday, September 3, 2013

Building Information Modelling (BIM) in Tanzania

 "A chance to win the global battle, in Construction Industry"

OVERVIEW

It is common for the Tanzanian government to take long to act on issues raised by the scholars or writers, although it may not be the case in political stories. Total Quality Management philosophy has been as far back 1990s ((Hellard, 1993), Rutaguza, (1997), (Mosha,2007), (World Bank, 2000))  been proposed to build quality culture education and construction industry, but only until  today only few sectors has recognized (Ministry of Health and Social Welfare, 2009), never the less with support from abroad. Today, BIM rise as