HONGERA JAKAYA NA MWAKYEMBE
KWA KUITHAMINI ZAMANI
Rasilimali tulizonazo ni NYINGI na zinatosha SANA kututoa katika umasikini, kama tu tukiikumbuka ZAMANI yetu na KUITHAMINI.Tuache ubinafsi na tusiogope maumivu ya MUDA mfupi, ni kawaida mafanikio huja kwa JASHO.Reli ni zaidi ya mabasi yaendayo kasi, na pengine zingeboreshwa kwanza kabla, tena Tanzania nzima na sio DAR tu.
Mipango mingi
Bungeni, Kumi asilimiani.
Wakuu wengi
nchini, Masilahiyo mbonini.
Reli zetu za
zamani, Anayeziua nani?