KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, January 13, 2013

KATIBA MPYA YA TANZANIA


"chonde chonde, misingi,haki na wajibu vipewe kipaumbele"

 “MAAMUZI YETU NDIO HATIMA YETU”

Maoni kwenye katiba ni muhimu sana, na watanzania wote tulione hili kuwa ni jambo linalotuhusu sisi na vizazi vyetu, tuweke ITIKADI, JAZBA, KASUMBA(UBINAFSI) NA IDEOLOGIES zetu pembeni, na kuchangia kwa dhati ya kujenga taifa la Tanzania, la leo na kesho.Pia Serikali na Wahusika wote wa