"chonde chonde, misingi,haki na wajibu vipewe kipaumbele"
“MAAMUZI YETU NDIO HATIMA YETU”
Maoni
kwenye katiba ni muhimu sana, na watanzania wote tulione hili kuwa ni jambo
linalotuhusu sisi na vizazi vyetu, tuweke ITIKADI, JAZBA, KASUMBA(UBINAFSI)
NA IDEOLOGIES zetu pembeni, na kuchangia kwa
dhati ya kujenga taifa la Tanzania, la leo na kesho.Pia Serikali na Wahusika wote wa