KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Monday, January 28, 2013

UTUMWA WA KIFIKRA SASA BAAAAAAAAAASI!!!



"Kuogopa Ukweli 
Kunatugharimu Sana Kimaisha"
Mara nyingi tunapoongelea Utumwa tunamaanisha ile hali ya Umiliki wa Binadamu  na kumfanya kama bidhaa. Inawezekana kukawa na kufanana kwa baadhi ya vitu, lakini pia hali ya kuwa huwezi kufanya maamuzi fulani sahihi kwa sababu tu unaogopa kuwa utakuwa unapingana na ukweli au uhalisia, na hivyo unalazimika kuendelea kufanya yasiyo sahihi kuyafanya tunaweza kuiita utumwa wa kifikra.