"Kuogopa Ukweli
Kunatugharimu Sana Kimaisha"
Mara nyingi tunapoongelea Utumwa tunamaanisha ile hali ya Umiliki wa Binadamu na kumfanya kama bidhaa. Inawezekana kukawa na
kufanana kwa baadhi ya vitu, lakini pia hali ya kuwa huwezi kufanya maamuzi fulani sahihi kwa
sababu tu unaogopa kuwa utakuwa unapingana na ukweli au uhalisia, na hivyo unalazimika
kuendelea kufanya yasiyo sahihi kuyafanya tunaweza kuiita utumwa wa kifikra.