"HAPA NI KENYA NA TANSANIA IPO HAPAHAPA"
Unaweza kuwa na kila kitu, ukikosa fikra bora umekwisha, unaishia kunufaisha wengine.
Mtu kwao bwana, mambo ya kanga, chai,"gahwa" na kadhalika, watu twaonja tu! Ukigundua kanga imeandikwa nini utakubali kuwa watanzania tumelala. |
Siku ya tarehe 26 mwezi wa kwanza, hapa Koln, moja kati miji mikubwa ya Ujerumani kwenye moja ya majumba ya makumbusho kulifanyika maonyesho, ambayo kwa mujibu wa hapa na pale ilikuwa ni siku ya