Watanzania tunahitaji kufahamu Imani na Misingi ya Taifa Letu.
Misingi
ya Taifa letu ndio Roho ya Taifa Letu.
Kuilinda na Kuboresha Misingi Yetu,Ndio Kulinda na Kuboresha Taifa Letu
Umuhimu
wa misingi sio tu kwa taifa, bali hata mtu binafsi na familia ama ukoo.
Lazima kuwa na misingi ambayo ndio dira ya matendo na maamuzi yako au yenu.
Mara nyingi tunapokosa kuwa na Misingi Bora huwa tunaishia kuyumba bila kujua
chanzo hasa cha kuyumba ni nini. Hatujui mchawi hasa ni nani!