KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, February 17, 2013

Kilimo Kwanza: Ni Kauli Mbiu ya Msingi kwa Taifa?



 Watanzania tunahitaji kufahamu Imani na Misingi ya Taifa Letu.
Misingi ya Taifa letu ndio Roho ya Taifa Letu.
Kuilinda na Kuboresha Misingi Yetu,Ndio Kulinda na Kuboresha Taifa Letu


Umuhimu wa misingi sio tu kwa taifa, bali hata mtu binafsi na familia ama ukoo. Lazima kuwa na misingi ambayo ndio dira ya matendo na maamuzi yako au yenu. Mara nyingi tunapokosa kuwa na Misingi Bora huwa tunaishia kuyumba bila kujua chanzo hasa cha kuyumba ni nini. Hatujui mchawi hasa ni nani!