TUJENGE UWANJA KWANZA
TAIFA KUBWA
NI
“MPIRA BORA KWANZA , MAGOLI, UBINGWA BAADAE”
USIYETAKA HILI HAMIA YANGA
Nakumbuka ilikuwa mwaka 1989,
wakati naamini,ndio hasa nilipoweka sahihi ya kuwa nitakuwa mshabiki wa WEKUNDU
MSIMBAZI MPAKA KUFA KWANGU. Hii ilikuwa ni baada ya kuwaona wachezaji kama Dan
Mhoja, kama sikosei pia John Makelele akitokea benchi. Wengine Mtanisaidia
mliokuwa