KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Monday, February 25, 2013

SIMBA SPORTS CLUBS - "Yaani mimi, Simba inapovurunda ndio naipenda sanaaaa!"



TUJENGE UWANJA KWANZA


TAIFA KUBWA 
NI


“MPIRA BORA KWANZA , MAGOLI, UBINGWA BAADAE”

USIYETAKA HILI HAMIA YANGA

Nakumbuka ilikuwa mwaka 1989, wakati naamini,ndio hasa nilipoweka sahihi ya kuwa nitakuwa mshabiki wa WEKUNDU MSIMBAZI MPAKA KUFA KWANGU. Hii ilikuwa ni baada ya kuwaona wachezaji kama Dan Mhoja, kama sikosei pia John Makelele akitokea benchi. Wengine Mtanisaidia mliokuwa