KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Saturday, March 9, 2013

SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI



WA-BONGO TUPUNGUZE KUSHABIKIA SHEREHE ZENYE
 TIJA NDOGO KWA TAIFA LETU

"MWANAMKE NA MWANAUME WOTE MUHIMU NA KILA MTU ANA HAKI ZAKE NA WAJIBU WAKE, TUSIDANGANYIKE" 

Badi Abu Al-farouq akijibu kupitia ukurasa wake wa “Facebook” wenye mafunzo mengi sana ya DINI YA KIISLAMU alisema ,“ Juma Mpangule uislamu umemtukuza sana mwanamke Alikuja mtu kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) akasema: “Ewe Mjumbe wa Allah! Ni nani mwenye haki zaidi miongoni mwa watu kwa mimi kusuhubiana naye kwa wema?” Akasema: “Mamako”. Akasema: “Kisha