WA-BONGO TUPUNGUZE KUSHABIKIA SHEREHE ZENYE
TIJA NDOGO
KWA TAIFA LETU
"MWANAMKE NA MWANAUME WOTE MUHIMU NA KILA MTU ANA HAKI ZAKE NA WAJIBU WAKE, TUSIDANGANYIKE"
Badi Abu Al-farouq
akijibu kupitia ukurasa wake wa “Facebook” wenye mafunzo mengi sana ya DINI YA
KIISLAMU alisema ,“ Juma
Mpangule
uislamu umemtukuza sana mwanamke Alikuja mtu kwa Mtume wa
Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) akasema: “Ewe Mjumbe wa Allah! Ni
nani mwenye haki zaidi miongoni mwa watu kwa mimi kusuhubiana naye kwa wema?”
Akasema: “Mamako”. Akasema: “Kisha