KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, March 10, 2013

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC): MAISHA NI NYUMBA NA NYUMBA NI PESA!



 "KAMA TUSIPOPATA FAIDA IMEKULA KWA WALALAHOI MARA MBILI"

NANUKUU Taarifa iliyotolewa na Shirika la Nyumba, ya 24/10/2012 kwenye uzinduzi wa uuzwaji wa nyumba mradi wa MINDU,Dar Es Salaam, “Kila nyumba itauzwa kwa bei ya TZ S 272,050,673.08 bila kodi ya ongezeko la thamani (VAT ) na  TZS 321,019,794.24 ikiwa na  kodi ya ongezeko la thamani  ( VAT )