"KAMA TUSIPOPATA FAIDA IMEKULA KWA WALALAHOI MARA MBILI"
NANUKUU
Taarifa iliyotolewa na Shirika la Nyumba, ya 24/10/2012 kwenye uzinduzi wa uuzwaji
wa nyumba mradi wa MINDU,Dar Es Salaam, “Kila nyumba itauzwa kwa bei ya TZ S 272,050,673.08 bila kodi ya
ongezeko la thamani (VAT ) na TZS 321,019,794.24 ikiwa na kodi ya ongezeko la thamani ( VAT )