KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, March 17, 2013

JESHI LA KUJENGA TAIFA, LAZIMA?!! KIVIPI?!!



MPANGO WA LAZIMA KUPITIA JKT, HAUNA MASLAHI MAKUBWA KWA TAIFA LETU

NUKUU YA 1.  KUTOKA KWA DEUDATUS BALILE, 04 March 2013 09:45  “http://modans.go.tz/site/index.php/jeshi-la-kujenga-taifa-laagizwa-kuajiri-vijana-wa-kujitolea-“
 
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ameliagiza Jeshi           la Kujenga Taifa (JKT) …………..Hayo aliyasema hivi karibuni alipotembelea  Makao     Makuu  ya  JKT,  jijini Dar es Salaam  ikiwa ni mara yake ya  kwanza  kwa  Makao Makuu             hayo kutembelewa na Rais  aliyeko madarakani tangu JKT ianzishwe mwaka 1963.