KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Monday, April 15, 2013

BUNGENI: HOJA YA BANGI IFANYIWE KAZI NA IISHE

HOJA YA BANGI: Wakisema nchi za Ulaya tutakataa?

Pengine LAWAMA ije kama Mbunge hakutoa Tathmini ya kina JUU ya FAIDA na HASARA za BANGI na SIGARA! Kiasi cha kutufanya tushindwe kuamua kipi bora. SIDHANI kama hoja hii inapaswa kuwa kama Nyongeza,ukiangalia uzito wake katika jamii, endapo itapewa maamuzi chanya!