ELIMU YA JUU
NI HAKI YA KILA MTANZANIA,
HIVYO
TUBORESHE WAZO BADALA YA KULIPINGA
Kwa mujibu wa Ibrahim Yamola, Mwananchi katika kiungo (http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1753450/-/12aid4m/-/index.html), Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU), imepanga kuanza kuwadahili wanafunzi wa kujiunga na masomo ya vyuo vikuu kwa kutumia uzoefu wao.