KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Tuesday, June 11, 2013

MAONI JUU YA RASIMU YA KATIBA MPYA-1



KWANZA TUNAIPONGEZA HATUA NZURI NA KAZI NZURI ILIYOFANYWA NA TUME YA KATIBA MPYA. 

LAKINI MAONI YA MABORESHO PIA MUHIMU. NA KAMA ADA, NI VEMA KUWEKA WAZI KUWA MAONI HAYA YANAWEZA KUWA NI SABABU TU YA UPEO MDOGO WA KUIELEWA RASIMU, ILA NI VEMA KUTOA KULIKO KUJA KUJILAUMU KWA KUTO KUTOA MAONI. 

WANASHERIA NA WADAU WENGINE WENYE UJUZI ZAIDI TAFADHALINI TUONGOZENI KATIKA HILI


KUTOKA TANKINI

LUGHA YA TAIFA NA LUGHA ZA ALAMA
4.-(1) Lugha ya Taifa ya Jamhuri ya Muungano ni Kiswahili na itatumika katika mawasiliano rasmi ya kitaifa na kiserikali.