KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Monday, June 24, 2013

Prof J! Hii Hapana

 Kwenye Mkasi na Profesor J!!
 http://www.youtube.com/watch?v=-8rXXIpmPa0, Salama Jabri akiendesha vizuri kipindi hiki, mengi mazuri aliyaongea mwanamuziki mkongwe na bora wa muziki wa HIP-HOP, Professor J.

YOTE, Nimeyapenda ila kidoooooooogo, kwenye hili moja! "Kila anachofanya Mwan HIP-HOP hapa TANZANIA kwa sasa, mimi NIMEKWISHA FANYA". Profesor J, hapo tutake radhi mashabiki wako na hasa wa Hip Hop! Hasa nikisikiliza nyimbo kama NJE YA BOX ya NIKKI wa pili http://www.youtube.com/watch?v=djSJz4T6tcU, na DEAR Gambe wa Dogo Young Killer!!!!!!!!!!!!