KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Monday, July 8, 2013

BAJETI YA TANZANIA 2013-14: Kama kupanga ni matumizi,WAKULIMA TUMO!



"Upenyo Sahihi wa kuboresha Bajeti ni kupitia Kuongeza Makusanyo Yetu".

Kila mtanzania ana haki ya kusema moja au kadhaa kuhusu bajeti ya nchi yetu maana kwa namna moja u nyingine itakuwa inamgusa tu! Wengi wameitazama kwa jinsi wainavyo, na kuitathmini kwa jinsi waonavyo kuwa ndio sawa!