"Upenyo Sahihi wa kuboresha Bajeti ni kupitia Kuongeza Makusanyo Yetu".
Kila mtanzania ana haki ya kusema moja au kadhaa kuhusu bajeti ya
nchi yetu maana kwa namna moja u nyingine itakuwa inamgusa tu! Wengi
wameitazama kwa jinsi wainavyo, na kuitathmini kwa jinsi waonavyo kuwa ndio
sawa!