KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Saturday, August 17, 2013

ZAMANI KUNA MBELENI

1

Enyi wetu wa zamani,Radhi yenu niwieni.
Wekeni yenu pembeni,Someni yangu hewani.
Mimi sio wa zamani,Napenda jua zamani.
Yangu haki naamini,Yangu kuweka hewani.
Kwa wote mlo makini,Yawekeni  akilini.
Yeyote mwenye imani, Msingi wake zamani.
TUMEITUPA ZAMANI, TUTAJUAJE MBELENI.

BAGAMOYO STARS-TUKUYU (MBEYA)


Kutoka http://www.basahama.blogspot.com. Tanki, linapenda kutoa pongezi za dhati kwa wahusika wote walioweza kufanikisha suala la KUANZISHWA kwa TIMU ya MPIRA wa MIGUU-BAGAMOYO STARS. Washabiki wa soka wa kitongoji cha bagamoyo,Tukuyu na TANZANIA kwa namna au nyingine watakuwa wamefarijika sana kwa taarifa hii pia.