1
Enyi wetu wa zamani,Radhi yenu
niwieni.
Wekeni yenu pembeni,Someni yangu
hewani.
Mimi
sio wa zamani,Napenda jua zamani.
Yangu
haki naamini,Yangu kuweka hewani.
Kwa wote mlo
makini,Yawekeni akilini.
Yeyote mwenye imani, Msingi wake
zamani.
TUMEITUPA ZAMANI, TUTAJUAJE
MBELENI.