KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, August 18, 2013

KIPAJI NI ASILI HAKITUPWI!!!!!!!!!!!!

Watanzania wengi wa leo wanaongelea vipaji, pengine kuliko kitu chochote. Wengine huongea pengine bila kufahamu hasa kuwa wanachoongela ni VIPAJI. Kipaji ni UWEZO wa ASILI wa KIPEKEE alionao MWANADAMU,kutoka kwa MUNGU.Ukiangalia KIPAJI kama TALENT (Kiingereza) unaweza