Swali kubwa kwa wanabagamoyo, ni nini kifanyike ili waweze kucheka ZAIDI ya walivyocheka siku za Timu za zamani kama Mwenge, Chai na Kurugenzi, ama zaidi TUKUYU STARS maarufu kama
Banyambala walioweza kupanda daraja na kutwaa ubingwa wakiwa na wachezaji na Kocha mzawa wa Tanzania. Tanki lina hili la kuchangia.
Banyambala walioweza kupanda daraja na kutwaa ubingwa wakiwa na wachezaji na Kocha mzawa wa Tanzania. Tanki lina hili la kuchangia.
Mi si wa enzi za mwenge, Ila namjua Mwenge.
Alipenda
atupange, Kwa pamoja tujijenge.
Mbiu yetu tuitunge,
Tuijue tuichunge.
Tukuyu na tujipange, Turudi enzi za mwenge.