KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Wednesday, September 11, 2013

MIGOMO YA WALIMU WA "CHEKECHEA" UJERUMANI

CHANZO NI NINI? TUJIFUNZE NINI SISI WABONGO?
 
Ni Kawaida kwa wafanyakazi wa kitanzania kuona MISHAHARA ndio suluhisho la matatizo yao! Pengine ni hivyo duniani kote kwa sababu ndio hasa chanzo cha kipato tegemewa.Lakini, chanzo kikubwa cha mtu kuichukia kazi mara nyingi sio, MSHAHARA, bali zaidi ni mazingira yaendanayo na kazi na hasa thamani apewayo mfanyakazi, kuanzia vitendea kazi mpaka heshima, maarufu kama MARUPURUPU. Hili

MADAWA YA KULEVYA-KULIKONI TANZANIA?

Madawa yenye kulevya, Nahisi Yametulevya.
Juma Sala na Kaluvya, Hakuna yasomlevya.
Tulilamba tukachovya, Tunajidunga  kilevya.