KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, September 15, 2013

Mbeya City Yadhihirisha kuwa Inastahili kuwa Ligi KUU



 Mechi baina ya MBEYA CITY ya jijini Mbeya na YANGA yenye makao yake jijini Dar Es Salaam, zimetoka uwanjani na kukubali kuambulia pointi moja kila moja baada matokeo halali ya 1-1.