Mechi baina ya MBEYA CITY ya jijini Mbeya na YANGA yenye
makao yake jijini Dar Es Salaam, zimetoka uwanjani na kukubali kuambulia pointi
moja kila moja baada matokeo halali ya 1-1.
Own Thinking Tank
Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...
Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.
Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.