KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Saturday, September 21, 2013

MBEYA CITY AGAIN

Kile kilichokuwa kikisubiriwa na wapenda soka wengi Tanzania leo kimetimia. Matokeo ya mchezo kati ya mabingwa kutandaza Soka nchini Tanzania, Simba Sports Club na Vijana machachari kutoka Mbeya, yamedhihirisha kuwa Mabingwa watetezi Dar Young Africans hawana haki ya kuidharau timu ya Mbeya City