Kile kilichokuwa kikisubiriwa na wapenda soka wengi Tanzania leo kimetimia. Matokeo ya mchezo kati ya mabingwa kutandaza Soka nchini Tanzania, Simba Sports Club na Vijana machachari kutoka Mbeya, yamedhihirisha kuwa Mabingwa watetezi Dar Young Africans hawana haki ya kuidharau timu ya Mbeya City