KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Thursday, September 26, 2013

USAFIRI - DAR-ES-SALAAM- Reli ni ukombozi wa MTANZANIA

 HONGERA JAKAYA NA MWAKYEMBE 
KWA KUITHAMINI ZAMANI

Rasilimali tulizonazo ni NYINGI na zinatosha SANA kututoa katika umasikini, kama tu tukiikumbuka ZAMANI yetu na KUITHAMINI.Tuache ubinafsi na tusiogope maumivu ya MUDA mfupi, ni kawaida mafanikio huja kwa JASHO.Reli ni zaidi ya mabasi yaendayo kasi, na pengine zingeboreshwa kwanza kabla, tena Tanzania nzima na sio DAR tu.

Mipango mingi Bungeni, Kumi asilimiani.
Wakuu wengi nchini, Masilahiyo mbonini.
Reli zetu za zamani, Anayeziua nani?