KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Friday, December 6, 2013

NELSON MANDELA-MUNGU AILAZE ROHO YAKE PEMA PEPONI



Ni Nelson Mandela, Muhimu kuliko Hela.
Alipendwa na Masela,Fukara na wenye Hela.
Wasomi wafunga tela, Kawafunza bila hela.
Lala Peponi Madiba,  Upumzike Wetu baba.

Nelson Mandela (18 Julai 1918 -  05 Disemba 2013)-Na  KEVIN BLOOM

"Fifty years ago Martin Luther King called out in hope, “Let freedom ring”. “Freedom” answered his call by walking out of Victor Verster Prison 27 years later - and the world embraced the human embodiment of that elusive concept in Nelson Mandela. The body that nurtured the concept is no more, and now the world again