KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Saturday, December 7, 2013

MSHAHARA, nani apewe zaidi, MENEJA au MFAGIZI? Kwa nini?



Moja kati ya masomo, ambayo wanafunzi siku kadhaa hapo nyuma tulikuwa tukifeli kwenye KIDATO cha SITA, ni UCHUMI. Ukisoma maswali yake, unaona kama tayari umefaulu, lakini majibu yakitoka unashangaa, alama kubwa ni “C”,pengine hata kitaifa. Sijui mambo yakoje kwa sasa. Lakini, badala ya