Moja kati ya masomo, ambayo wanafunzi
siku kadhaa hapo nyuma tulikuwa tukifeli kwenye KIDATO cha SITA, ni UCHUMI.
Ukisoma maswali yake, unaona kama tayari umefaulu, lakini majibu yakitoka
unashangaa, alama kubwa ni “C”,pengine hata kitaifa. Sijui mambo yakoje kwa
sasa. Lakini, badala ya