KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Monday, December 16, 2013

Kama "Mapera",Fikra hizi nazo Feki!

Zamani, Tukuyu-MBEYA kulikuwa na vyakula na matunda mbalimbali pengine kuliko leo. Kulikuwa na aina ya “MAPERA” iliyofahamika kwa jina la “KALUNGA-MUNYU”. Mtu alikuwa hanunui MAPERA, zaidi