KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Saturday, December 28, 2013

UTANDAWAZI na BIM, havitaki ubinafsi!!!!!



                       DUNIA ni kweli kijiji, "UBINAFSI" UTATUUA, TUUBORESHE haraka.
KUNA hisia kuwa WATANZANIA wengi, hatuna TABIA YA KUFANYA KAZI NJE YA NCHI. Sidhani kama ni JAMBO BAYA, pengine TUMEJITOSHELEZA. Lakini HOFU yangu, ni kuwa Hatuna UTAMADUNI wa kufanya KAZI zetu katika KIWANGO cha KIMATAIFA. Na kama