KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Tuesday, December 31, 2013

Mungu wetu sio pepe.



1
Nataka kata Utepe, Kwanza radhi mnipe.
Mchana kuko kweupe, Machoni nisiwakwepe.
Uone nina Pelepe, Rohoni kwangu mweupe.
Si Madenge si Kipepe,Viongozi msisepe.