KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, September 28, 2014

MZUMBE SECONDARY SCHOOL ALUMNI

"WAZUMBE"
WAUNGANA KATIKA HARAKATI ZA KUJENGA TAIFA. 

Naomba kutumia andiko la
Rahim Mzee Kachwamba (Mzumbe Sec PCB 1996-1998)
Mjumbe wa Sekretarieti ya kuanzisha Mzumbe Sec Alumni)

kuwafikishia  taarifa WAZUMBE na WATANZANIA wenzangu TUKIO hili la MUHIMU.

Friday, September 5, 2014

Tatizo lako ndio ubinadamu wako,likubali,tatua na usonge?



Ukimchukulia mtoto mdogo kabisa anayezaliwa! Unaweza kusema hajui kitu na pengine ni sawa kusema hana Tatizo! Lakini ukijaribu kufikiria unaweza kuona kuwa tayari mtoto ana shida kama vile Njaa,baridi

Sunday, August 24, 2014

UJIFUNZE KUWA MTU, SIO MTU BORA KITU



1
Sisemi  usithubutu, Na mimi hula vya watu.
Ukiwa mtu wa watu, Uwe pia wao mtu.

Wednesday, July 23, 2014

WA NDOA NANI MWALIMU?




1
Ninamsaka mwalimu, Mwenye hasa uhitimu.
Mwalimu awe mwalimu, Wetu hata tuwe ndumu.

Monday, July 14, 2014

GOETZEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!




MPIRA 
UMETENDA HAKI KABISA UJERUMANI KUWA MABINGWA KOMBE LA DUNIA 2014, HONGERA DEUTSCHLAND

Sunday, July 6, 2014

TUJENGE MIJI NA JAMII ZAIDI YA MAJENGO YA MIJI


CHA KWANZA kunivutia nilipofika DORTMUND kilikuwa ni "SEMI CIRCULAR GLASS ROTUNDA" ya Architect Mario Botta, Lugano.Pengine ndio maana nimeongeza UUMINI wa "KUJENGA JIJI LA MBEYA" badala ya

Monday, May 19, 2014

"Penye UONGO, UKWELI pia HUJITENGA"

Baada ya kuona maswala ya SIASA siyaelewi kabisa (Hasa kwenye mchakato wa katiba), nikaona nifungue kidogo Falsafa na Sayansi ya mambo ya Kisiasa. Nikajifunza mengi tu na kwa kifupi, nikaona kuwa mambo yahusuyo taratibu tulizonazo kama KUUNDA KATIBA wanaweza kutusaidia wataalamu hawa kabisa,

Tuesday, May 13, 2014

NDOTO YANGU 2014




Nini hasa yako ndoto, Yangu niwepo Khatari

Leo nimeota ndoto, Niko nchini Khatari
Bado damu yangu moto, Napiga pamba hatari

Thursday, May 1, 2014

SABUNI BORA TOKA TUKUYU-RUNGWE, TANZANIA.

 
Photo By Hussein Mjasiriamali

AZA HERBAL MEDICATED SOAP. Ni sabuni ya asili iliyotengenezwa kutumia vitu vya asili kama tunda la PARACHICHI. Ndani ya tunda hili kuna maji kiasi kidogo sana ukilinganisha na matunda

Wednesday, April 2, 2014

Mnyonge nyi mnyongeni,Na Haki yake Mpeni



1
Tumlaani shetani, Ubinafsi Shetani.
Hana mpango shambani, Maisha yake angani.
Akishuka aridhini, Atashinda tu majini

Monday, March 31, 2014

"KABILA"




1
Wangu makini malenga, Wenye kujua kutunga.
Msio wenye kulinga, Wa pwani nako Mafinga.
Kuna jambo lanitinga,  Jibu lanipiga chenga

Sunday, March 23, 2014

Uchama si ufitini, Ukabila si udini



1
Sasa mimi naamua,Maji nguo navulia.
Sifuri ukiijua, Utaandika na mia.
Bora kiguru na njia,Tuli bure huumia.

Monday, March 3, 2014

SIMBA

UJASIRI NDIO SILAHA YETU YA KWELI

 Kujitegemea na Kuthamini MASHABIKI ndio MSINGI wa mafanikio ya KWELI ya timu YETU.
Lazima tujifunze kuanzia PALE TULIPO. Tuanze na uwezo wetu, ili tuinuke kwa pamoja, WASHABIKI

Sunday, February 23, 2014

NYERERE

BABA WA TAIFA WA KUJIVUNIA
ulius Nyerere pictured on January 31, 1985 in Dar es Salam, Tanzania. PHOTO | FILE  NATION MEDIA GROUP
"Nadhani hakupaswa Kung'atuka"
Nilibahatika kukutana na (BIBI Theresa) ambaye alitembelea Tanzania kwa muda wa siku mbili mnamo mwaka 1973.Kitu cha kustaajabisha, sio bibi huyu kunipatia Ramani ya Tanzania, ambayo alitumia kutembelea Tanzania ama kunionyesha kitabu cha East Afrika, hasa akinionyesha Picha ya Nyerere

Friday, February 21, 2014

MAJI YA KISIMANI,UTHAMANI FIKIRANI

Kisimani ni  Afya, Maji yakupe chafya.
Maji msingi wa Afya, Utu Bora si Afya.
Yatupe maji afya, Tuziache bofyabofya.

Friday, January 31, 2014

MAMA ama MKE?

Kati ya mama na Mke,Kwanza namtibu Mke.

1
Swali lako Msafiri, Limenipa kufikiri.
Nimelipenda shairi, Hakika umehariri.
Linataka uhariri,Ujibu kwa kufikiri

Thursday, January 30, 2014

MWALIMU NYERERE VIPI?

Can we learn SOMETHING out of these?

(http://de.msn.com/?rd=1&ucc=DE&dcc=DE&opt=0&pc=UP97&ocid=UP97DHP&tc=41&ar=3)

"I HOPE IT IS NOT OPPORTUNISM"

Saturday, January 25, 2014

Mama ataka msasa.



1
Uchungu kweli wa mama, Wa Baba sio wa mama.

Nyumbani hasa ni mama, Baba ubora ni mama.

Watoto hulia mama, Baba haiwi kiama.

Dira yetu kuu mama, Tangu Baba ni mzima.