KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, February 23, 2014

NYERERE

BABA WA TAIFA WA KUJIVUNIA
ulius Nyerere pictured on January 31, 1985 in Dar es Salam, Tanzania. PHOTO | FILE  NATION MEDIA GROUP
"Nadhani hakupaswa Kung'atuka"
Nilibahatika kukutana na (BIBI Theresa) ambaye alitembelea Tanzania kwa muda wa siku mbili mnamo mwaka 1973.Kitu cha kustaajabisha, sio bibi huyu kunipatia Ramani ya Tanzania, ambayo alitumia kutembelea Tanzania ama kunionyesha kitabu cha East Afrika, hasa akinionyesha Picha ya Nyerere

Friday, February 21, 2014

MAJI YA KISIMANI,UTHAMANI FIKIRANI

Kisimani ni  Afya, Maji yakupe chafya.
Maji msingi wa Afya, Utu Bora si Afya.
Yatupe maji afya, Tuziache bofyabofya.