KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Wednesday, July 23, 2014

WA NDOA NANI MWALIMU?




1
Ninamsaka mwalimu, Mwenye hasa uhitimu.
Mwalimu awe mwalimu, Wetu hata tuwe ndumu.

Monday, July 14, 2014

GOETZEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!




MPIRA 
UMETENDA HAKI KABISA UJERUMANI KUWA MABINGWA KOMBE LA DUNIA 2014, HONGERA DEUTSCHLAND

Sunday, July 6, 2014

TUJENGE MIJI NA JAMII ZAIDI YA MAJENGO YA MIJI


CHA KWANZA kunivutia nilipofika DORTMUND kilikuwa ni "SEMI CIRCULAR GLASS ROTUNDA" ya Architect Mario Botta, Lugano.Pengine ndio maana nimeongeza UUMINI wa "KUJENGA JIJI LA MBEYA" badala ya