KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, September 28, 2014

MZUMBE SECONDARY SCHOOL ALUMNI

"WAZUMBE"
WAUNGANA KATIKA HARAKATI ZA KUJENGA TAIFA. 

Naomba kutumia andiko la
Rahim Mzee Kachwamba (Mzumbe Sec PCB 1996-1998)
Mjumbe wa Sekretarieti ya kuanzisha Mzumbe Sec Alumni)

kuwafikishia  taarifa WAZUMBE na WATANZANIA wenzangu TUKIO hili la MUHIMU.