NI "MSEMO" WENYE MANUFAA KWETU VIJANA.
Tusiutupe na Tuutendee Haki.
Ni kauli ya
Raisi Mteule wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr John Pombe Magufuli (Kuanzia tarehe 29 Oktoba 2015). Hongera
sana mheshimiwa kwa kuchaguliwa. Kama ilivyo ada, kila mtanzania ana lake la
kusema, kutokana na mchakato mzima wa uchaguzi,matarajio na matokeo. Tanki halina hoja
juu ya mambo yahusuyo sharia za uchaguzi na siasa zake. Lakini kwenye suala zima la KAULI
MBIU YA HAPA KAZI TU, Tanki lina machache ya kuongelea kama sehemu ya kuunga
mkono kauli hiyo.Hii haina maana kuwa