KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, April 26, 2015

DUNIA YASHEREHEKEA NA MZUMBE SECONDARY SCHOOL

MZUMBE ALUMNI WAHUDHURIA
MAHAFALI YA 46 YA KIDATO CHA SITA 
MZUMBE SECONDARY SCHOOL

Kupitia  taarifa ya Dr. Imani Kondo aliyoitoa kwenye Ukurasa wa Facebook wa Mzumbe High School,