KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, July 12, 2015

NATANGAZA YANGU NIA, URAISI KUUSHIKA.



1
NATANGAZA YANGU NIA, YA KWANGU KUWAFANYIA
FUNUNU NIMESIKIA, URAISI UNAWADIA.
SITAKI KUNIZUWIA,NI HAKI KWA MWENYE NIA.
MUHIMU NAULIZIA, KURA MTANIPATIA?
IKULU NAKIMBILIA, VINONO VILOBAKIA.
KWA RAHA NENDE JILIA, PASIPO MUULIZIA.
NATANGAZA KWENU NIA, URAISI NAUTAKA.