KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Tuesday, December 11, 2018

MPAJU SPORTS DAY-2018- 31st December 2018

IN THE BIGGEST STADIUM IN MBEYA
-SOKOINE-
DO NOT PLAN TO MISS THIS SPECIAL EVENT!!!!
Mpaju Sports Centre (MSC) Mpaju Sports Centre believes in discovering and developing natural abilities. It is founded on the principles of

Sunday, September 30, 2018

Mchezo wa Kirafiki wa Mpaju FC "Simba vs Yanga´"

Simba na Yanga ni timu kubwa sio tu Tanzania, bali hata Afrika ya Mashariki. Homa ya mchezo baina ya timu hizi mbili zenye utani wa jadi, huleta joto la kiushabiki kuanzia kwa watoto mpaka wazee,

Monday, August 20, 2018

MPAJU FC Kushiriki Mashindano ya Wilaya U17-Mbeya


Mpaju FC, imepata nafasi ya kushiriki mashindano ya Wilaya ya Mbeya Mjini, kwa vijana wa Miaka chini ya Kumi na Saba, yanayotarajiwa kuanza siku chache zijazo. Mpaju FC imeruhusiwa kushiriki mashindano hayo baada ya kufanikiwa

Sunday, April 22, 2018

“MPAJU SPORTS CENTRE (MSC) DAY”



Wakati wa Kufunga Sherehe
Nembo Kuu ya MSC
Mpaju Sports Centre (MSC) ni Taasisi ya Michezo inayopatikana Mbeya-Iganzo, Tanzania. Taasisi hii inaamini katika Nguvu ya Vipawa na Uasilia. MSC imeanzishwa katika misingi ya kuheshimu vipawa na uasili alionao mwanadamu na mazingira yanayomzunguka popote duniani. MSC inaamini