MPAJU FC U-15
YATWAA UBINGWA KIBABE
 YAICHAPA NEW TALENT ACADEMY 3-0

Mwenyekiti wa Mpira Wilaya Mzee Gondwe akikabidhi Jezi na Mpira kwa Mabingwa wa Grace Cup 2021-Mpaju FC U-15. 
Picha ya Pamoja ya Mpaju Fc, New Talent na Wasimamizi wa Grace Cup 2021 Mbeya 
mpaju Fc -U-15 katika picha ya Pamoja kabla ya kuwavaa New Talent Academy (Mabingwa wa Mpaju Cup 2021) 
 







 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Mpaju nitumie fursa hii kuwapongezeni mmefanya kitu kizuri mnastairi pongezi na makofi mengi I can't wait mpaju day
ReplyDeleteBy.......
@mwalimsheyo