KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Tuesday, June 2, 2026

Zaidi ya Matokeo: Mpaju FC Queens Yatoa Kipimo Muhimu kwa Prisons FC Queens Kuelekea Mwanza

 

Picha ya pamoja ya Mpaju FC Queens kabla ya mchezo dhidi ya Prisons FC Queens.

Uwanja wa Magereza Rwanda | Jumamosi, 30 Juni 2026

Kwa mtu aliyeangalia matokeo pekee, angeona Prisons FC Queens imeibuka na ushindi wa mabao 3–0 dhidi ya Mpaju FC Queens. Hata hivyo, kwa wale waliofuatilia mchezo kwa karibu, walielewa kuwa mechi hiyo ilikuwa na maana kubwa zaidi ya matokeo.

Sunday, March 22, 2026

Zaidi ya Matokeo: Ukuaji na Mwelekeo wa Soka la Wanawake Mbeya

 

MPAJU FC QUEENS WAKIWA KATIKA UKAGUZI KABLA YA KUANZA MCHEZO

Mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Mkoa Mbeya 2026/27 kati ya Mpaju FC Queens (Atinisu) na Kukaye Moto FC Queens haukuwa tu kuhusu ushindi wa 3–1, bali umeonesha mwelekeo wa soka la wanawake katika mkoa.

Sunday, January 25, 2026

Mpaju FC U-20 sasa ni AMATEUR - Watoa ushindani Daraja la Tatu Mkoa-Mbeya 2025/26.

MPAJU FC KABLA YA KUWAKABILI MASANDAWANA FC. Matokeo Masandawana 2-0 Mpaju FC

Mbeya, 2025/26 – Mpaju FC, chini ya Mpaju Sports Centre na mfumo wa Mpaju Galaxy, imeonyesha wazi kuwa mpito kutoka kikosi cha U-20 hadi soka la Amateur ni hatua muhimu katika maendeleo ya wachezaji.

Saturday, December 20, 2025

TDS GIRLS MABINGWA WA LIGI YA MABINGWA WA MIKOA KWA MPIRA WA MIGUU WANAWAKE (WRCL 2025)

PONGEZI NI MUHIMU NA MAFUNZO NI MUHIMU ZAIDI

Tunawapongeza TDS Girls kwa ubingwa wa WRCL 2025, ushindi unaoonesha maandalizi, nidhamu, na ubora wa soka la wanawake. Mafanikio yao ni kielelezo cha kile kinachowezekana panapokuwepo msaada na mipango thabiti. Ni wazi jitihada zinazofanywa kwao zitaendelea kusambaa Tanzania kote.

Thursday, December 18, 2025

Women's Regional Champions League (WRCL) 2025: MBEYA Yawakubali MPAJU FC QUEENS (Atinisu)

MPAJU FC QUEENS a.k.a ATINISU.
"HATUCHOKI HATA TUKICHOKA"

Safari ya Mpaju FC Queens (Atinisu) katika WRCL 2025, IMEISHIA NUSU FAIANLI, lakini imekuwa ushuhuda wa ujasiri, nidhamu, na kujitoa kupita matokeo ya kawaida ya soka. Licha ya changamoto kubwa za kifedha, uchovu wa safari, na upungufu wa wachezaji, wasichana hawa wamepigana kwa heshima na kulibeba jina la Mkoa wa Mbeya kwa fahari.

Monday, December 15, 2025

KABLA YA MATOKEO, HESHIMA: SHUKRANI KWA JUHUDI ZA MPAJU FC QUEENS (ATINISU) – WRCL 2025

 


Ujumbe huu haujaandikwa kwa sababu Mpaju FC Queens (Atinisu) wamefuzu robo fainali za WRCL 2025, bali kwa sababu ya juhudi kubwa, nidhamu, na uvumilivu waliouonesha katika mazingira magumu kupita kawaida.

Monday, August 4, 2025

Mpaju FC ATINISU Yawachabanga ICON FC Queens Magoli 6 kwa 2.

DENI LA 2021 LIMEKWISHAAAAAAAAAAAAAA


Wakati Airport Rangers wakitawazwa Mabingwa Wapya Mo Quality Ndondo Cup 2025,  MPAJU FC QUEENS a.k.a ATINISU wametangaza rasmi kuwa siyo tena timu ya kuzungumziwa kwa historia ya jana, bali ni timu ya kuogopwa kwa leo na kesho. 

Habari Kamili iko hivi!!!!!!!