Saturday, November 6, 2021

GRACE FC CUP MBEYA 2021

MPAJU FC U-15 

YATWAA UBINGWA KIBABE

 YAICHAPA NEW TALENT ACADEMY 3-0

Mwenyekiti wa Mpira Wilaya Mzee Gondwe akikabidhi Jezi na Mpira kwa Mabingwa wa Grace Cup 2021-Mpaju FC U-15.

Picha ya Pamoja ya Mpaju Fc, New Talent na Wasimamizi wa Grace Cup 2021 Mbeya

mpaju Fc -U-15 katika picha ya Pamoja kabla ya kuwavaa New Talent Academy (Mabingwa wa Mpaju Cup 2021)

Mpaju FC U-15, wakiendelea na sherehe baada ya kupewa Vinywaji na Wadau kutoka  Washauri wa kitaalamu kwenye mambo ya ujenzi Mbeya na Afrika Mashariki (MALK CONSULTANTS LTD) na MTAALAMU mbobezi wa Ujenzi unaohusu VYUMA hapa Mbeya, Maarufu kama JIWE.

 

Related Posts:

  • MWALIMU NYERERE VIPI? Can we learn SOMETHING out of these? (http://de.msn.com/?rd=1&ucc=DE&dcc=DE&opt=0&pc=UP97&ocid=UP97DHP&tc=41&ar=3) "I HOPE IT IS NOT OPPORTUNISM" … Read More
  • SIMBA UJASIRI NDIO SILAHA YETU YA KWELI  Kujitegemea na Kuthamini MASHABIKI ndio MSINGI wa mafanikio ya KWELI ya timu YETU. Lazima tujifunze kuanzia PALE TULIPO. Tuanze na uwezo wetu, ili tuinuke kwa pamoja, WASHABIKI N… Read More
  • MAJI YA KISIMANI,UTHAMANI FIKIRANI Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
  • TQM FOR TANZANIAN EDUCATION QUALITY IMPROVEMENT Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 … Read More
  • NYERERE BABA WA TAIFA WA KUJIVUNIA ulius Nyerere pictured on January 31, 1985 in Dar es Salam, Tanzania. PHOTO | FILE  NATION MEDIA GROUP "Nadhani hakupaswa Kung'atuka" Nilibahatika kukutana na (BIBI Theresa) ambaye alitem… Read More

1 comment:

  1. Mpaju nitumie fursa hii kuwapongezeni mmefanya kitu kizuri mnastairi pongezi na makofi mengi I can't wait mpaju day
    By.......
    @mwalimsheyo

    ReplyDelete