Home »
» GRACE FC CUP MBEYA 2021
Saturday, November 06, 2021
MPAJU FC U-15
YATWAA UBINGWA KIBABE
YAICHAPA NEW TALENT ACADEMY 3-0
 |
Mwenyekiti wa Mpira Wilaya Mzee Gondwe akikabidhi Jezi na Mpira kwa Mabingwa wa Grace Cup 2021-Mpaju FC U-15.
|
 |
Picha ya Pamoja ya Mpaju Fc, New Talent na Wasimamizi wa Grace Cup 2021 Mbeya
|
 |
mpaju Fc -U-15 katika picha ya Pamoja kabla ya kuwavaa New Talent Academy (Mabingwa wa Mpaju Cup 2021)
|
 |
Mpaju FC U-15, wakiendelea na sherehe baada ya kupewa Vinywaji na Wadau kutoka Washauri wa kitaalamu kwenye mambo ya ujenzi Mbeya na Afrika Mashariki (MALK CONSULTANTS LTD) na MTAALAMU mbobezi wa Ujenzi unaohusu VYUMA hapa Mbeya, Maarufu kama JIWE.
|
Related Posts:
LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE- MKOA WA MBEYAMPAJU FC (a.k.a ATINISU) WAANZA KWA KUKUBALI KIPIGO CHA MAGOLI 9 KWA 1 Tarehe 01 Machi 2021 kulifanyika tukio la kihistoria kwa wanasoka wa Mkoa wa Mbeya. Ligi ya Mkoa kwa Mpira wa Miguu wa Wanawake ilianza ras… Read More
MPAJU WEEK 2020(Disemba 15-22)Uwanja wa Magereza Chuo-Ruanda Mbeyanani kufungua Dimba timu za wasichana?MPAJU FCVS SUPER EAGLES Mpaju FCSUPER EAGLE… Read More
MPAJU
WEEK 2020“JAMII YETU-KIOO CHETU”
Kauli
mbiu ya Mpaju Week 2020 ni JAMII YETU NDIO KIOO CHETU. Mpaju SC
inaamini changamoto zinazoizunguka jamii yetu zinatokana na kushindwa KWETU kuzitatua. Mpaju SC inaikifikishi… Read More
LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE - MKOA WA MBEYA MPAJU ATINISU WATISHA SANAWAWACHABANGA TUKUYU QUEENSNA KUSHIKA NAFASI YA TATUSiku ya Jumapili ya tarehe 07 Machi 2021, historia iliendelea kuandikwa kwa Mkoa wa Mbeya na kituo cha michezo cha Mpaju Sports Centre. H… Read More
Mpaju Week 2020-YAWA CHACHU KWA SOKA LA WANAWAKE MBEYAMpaju Week 2020 yaleta matumaini ya SOKA LA WANAWAKE MBEYA: Tamasha hili lenye KAULI MBIU YA JAMII YETU NDIO KIOO CHETU, lilifikia tamati siku ya Jumanne tarehe 22 Disemba 2020 pale Uwanja wa Chuo cha Magereza Mbeya, kuwakari… Read More
Mpaju nitumie fursa hii kuwapongezeni mmefanya kitu kizuri mnastairi pongezi na makofi mengi I can't wait mpaju day
ReplyDeleteBy.......
@mwalimsheyo