Home »
» GRACE FC CUP MBEYA 2021
Saturday, November 06, 2021
MPAJU FC U-15
YATWAA UBINGWA KIBABE
YAICHAPA NEW TALENT ACADEMY 3-0
 |
Mwenyekiti wa Mpira Wilaya Mzee Gondwe akikabidhi Jezi na Mpira kwa Mabingwa wa Grace Cup 2021-Mpaju FC U-15.
|
 |
Picha ya Pamoja ya Mpaju Fc, New Talent na Wasimamizi wa Grace Cup 2021 Mbeya
|
 |
mpaju Fc -U-15 katika picha ya Pamoja kabla ya kuwavaa New Talent Academy (Mabingwa wa Mpaju Cup 2021)
|
 |
Mpaju FC U-15, wakiendelea na sherehe baada ya kupewa Vinywaji na Wadau kutoka Washauri wa kitaalamu kwenye mambo ya ujenzi Mbeya na Afrika Mashariki (MALK CONSULTANTS LTD) na MTAALAMU mbobezi wa Ujenzi unaohusu VYUMA hapa Mbeya, Maarufu kama JIWE.
|
Related Posts:
MWALIMU NYERERE VIPI?
Can we learn SOMETHING out of these?
(http://de.msn.com/?rd=1&ucc=DE&dcc=DE&opt=0&pc=UP97&ocid=UP97DHP&tc=41&ar=3)
"I HOPE IT IS NOT OPPORTUNISM"
… Read More
SIMBA
UJASIRI NDIO SILAHA YETU YA KWELI
Kujitegemea na Kuthamini MASHABIKI ndio MSINGI wa mafanikio ya KWELI ya timu YETU.
Lazima tujifunze kuanzia PALE TULIPO. Tuanze na uwezo wetu, ili tuinuke kwa pamoja, WASHABIKI
N… Read More
MAJI YA KISIMANI,UTHAMANI FIKIRANI
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
… Read More
TQM FOR TANZANIAN EDUCATION QUALITY IMPROVEMENT
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
… Read More
NYERERE
BABA WA TAIFA WA KUJIVUNIA
ulius Nyerere pictured on January 31, 1985 in Dar es Salam, Tanzania. PHOTO | FILE
NATION MEDIA GROUP
"Nadhani hakupaswa Kung'atuka"
Nilibahatika kukutana na (BIBI Theresa) ambaye alitem… Read More
Mpaju nitumie fursa hii kuwapongezeni mmefanya kitu kizuri mnastairi pongezi na makofi mengi I can't wait mpaju day
ReplyDeleteBy.......
@mwalimsheyo