Saturday, July 3, 2021

NAJIM ACADEMY BINGWA_TASCA CUP NYANDA ZA JUU KUSINI

 RUAHA ACADEMY NA MPAJU SC  WATAMBA KWA SOKA SAFI LA VIJANA
Katibu wa Chama cha Mpira cha Mkoa wa Mbeya, Ndg Lucas Kubaja akiwakagua vijana wa Mpaju SC U-17 kabala ya Mchezo wao wa Fainali dhidi ya Najim Academy (Mabingwa). Mpaju walipoteza kwa 1-0.

Katibu wa TASCA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (Anyimike Mshani) Akitoa nasaha zake kabla ya kumkaribsha Mwenyekiti Ally Msingwa aweze kufunga Mashindano hayo kwa hatua ya Kanda.





Makocha wa Mpaju Sports Centre- Ali Mkumbukwa (Kushoto) na Kassim Madodi (kulia wakiangalia kwa Makini Mashindano





Kutoka Kushoto Ally Msigwa (Mwenyekiti TASCA Kanda), Katibu wa Mpira Mkoa (Lucas K. Kubaja) na Katibu TASCA Kanda (anyimike Mshani).


Young Stars Kutoka Iringa

Mpaju Sports Centre U-17 Washindi wa Pili

Waamuzi wakiwa na Wachezaji wa U-15

NAJIM Academy kutoka Keyela -Mabingwa U-17

Makambako City Academy U-17

Ruaha Academy U-15

Yosso Soccer Academy U-15 Kutoka Vwawa Mbozi


Super Power U-15 Kutoka Tunduma Songwe- Mabingwa wa U-15

Mpaju Sports Centre U-15








0 comments:

Post a Comment