Wednesday, December 26, 2012

Quality& Mentality/Fikra &Ubora



"Quality here   is 
Excellent Performance under available resources 
and 
mentality is just the mind set/way of thinking. 

Ubora unaozungumziwa hapa ni kufikia kiwango kamilifu,kufuatana na rasilimali zilizopo! Na Fikra ni mawazo/utashi na mitazamo katika tafakuri za utatuzi wa mambo.


Mfano: Tuko kwenye sherehe/sikukuu. Tunahitaji Kula chakula tofauti.Kama utamaduni wetu!Tukiwa pamoja na marafiki,familia n.k? Pesa sina,nikikopa nikanunua ng’ombe mzima na kunywa bia ili wanione! Na kudhoofisha maisha yangu ya usoni, sio ubora unaongelewa,hapa.
Japo nimekamilishamahitaji yangu ya sikukuu! Ila nikikopa kiasi cha wali na soda! Na kuhakikisha siyumbishi maisha mbeleni,huo ndio ubora! Au la, Nasema Tutakula kama kawaida na hakuna kwenda kwa jirani! Full stop!

Unahisi kama ndio tunaelekea mwisho! No hata kuanza bado!
  
Quality Culture Mentality  

Tanki linatumia pia Utamaduni  kama muongozo kwa kuamini kuwa UTAMADUNI WETU HASA NDIO SISI,HIVYO KUUPENDA NI KUJIPENDA NA KUUJALI NI KUJIJALI NA KAMA KUNA KUUBORESHA BASI NI KUJIBORESHA.

Tanki LINAAMINI Tanzania ina utamaduni,mimi NA WEWE  pia tuna utamaduni wetu!Uwe mzuri au mbaya,unalipa haulipi, bado sisi ndio tunajua ni kwa nini tunaushikilia!
Kutoka/From GOOGLE Search: frank.mtsu.edu/~jbwallae/1010/lectur04.htm
Utamaduni wa jamii unahusu lugha/ Language, Norms/Taratibu, Values/Mila/Desturi/Miiko, Beliefs and ideologies/Imani na Mitazamo, Social Collectives/Vijikundi vya kijamii, Statuses and Roles/Hadhi na Nyadhifa, Cultural Integration/Ujumla wa kijamii.
Vingine kama Vita/Majesh na Ujenzi pia vinaweza kuhusishwa humo pia.Tanki linaamini kupitia HAYO kama vichwa hivyo vya habari, hutakosa cha AMA KUJIFUNZA AU KUJIKUMBUSHA .
So now you are full aware of what Mpaju Blog is all about! Do we need this? Why?
Mpaka hapo,lazima utakuwa umeelewa Blogu ya Mpaju inalengo gani!
Je tunahitaji Blogu hii au Lah! Kwa nini?

Related Posts:

  • LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE- MKOA WA MBEYAMPAJU FC (a.k.a ATINISU) WAANZA KWA KUKUBALI KIPIGO CHA MAGOLI 9 KWA 1 Tarehe 01 Machi 2021 kulifanyika tukio la kihistoria kwa wanasoka wa Mkoa wa Mbeya. Ligi ya Mkoa kwa Mpira wa Miguu wa Wanawake ilianza ras… Read More
  •  MPAJU WEEK 2020(Disemba 15-22)Uwanja wa Magereza Chuo-Ruanda Mbeyanani kufungua Dimba timu za wasichana?MPAJU FCVS SUPER EAGLES Mpaju FCSUPER EAGLE… Read More
  • Mpaju Week 2020-YAWA CHACHU KWA SOKA LA WANAWAKE MBEYAMpaju Week 2020 yaleta matumaini ya SOKA LA WANAWAKE MBEYA: Tamasha hili lenye KAULI MBIU YA JAMII YETU NDIO KIOO CHETU, lilifikia tamati siku ya Jumanne tarehe 22 Disemba 2020 pale Uwanja wa Chuo cha Magereza Mbeya, kuwakari… Read More
  • LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE - MKOA WA MBEYA MPAJU ATINISU WATISHA SANAWAWACHABANGA TUKUYU QUEENSNA KUSHIKA NAFASI YA TATUSiku ya Jumapili ya tarehe 07 Machi 2021, historia iliendelea kuandikwa kwa Mkoa wa Mbeya na kituo cha michezo cha Mpaju Sports Centre. H… Read More
  • KANDANDA SAFI LA MPAJU FC LAWA GUMZO IYUNGA-MBEYA  MPAJU FC YAPATA MASHABIKI WENGI VIWANJA VYA TAZARA NA CHUO KIKUU SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST)  Pamoja na kupoteza michezo yao yote katika mashindano ya wilaya na ule wa kirafiki na wafanyakazi wa Chuo Ki… Read More

0 comments:

Post a Comment