Kwenye Mkasi na Profesor J!!
http://www.youtube.com/watch?v=-8rXXIpmPa0, Salama Jabri akiendesha vizuri kipindi hiki, mengi mazuri aliyaongea mwanamuziki mkongwe na bora wa muziki wa HIP-HOP, Professor J.
YOTE, Nimeyapenda ila kidoooooooogo, kwenye hili moja! "Kila anachofanya Mwan HIP-HOP hapa TANZANIA kwa sasa, mimi NIMEKWISHA FANYA". Profesor J, hapo tutake radhi mashabiki wako na hasa wa Hip Hop! Hasa nikisikiliza nyimbo kama NJE YA BOX ya NIKKI wa pili http://www.youtube.com/watch?v=djSJz4T6tcU, na DEAR Gambe wa Dogo Young Killer!!!!!!!!!!!!
Monday, June 24, 2013
Home »
» Prof J! Hii Hapana
Prof J! Hii Hapana
Monday, June 24, 2013
No comments
Related Posts:
Safari ya Mpaju FC- Mbalali (Meta- Shule ya Msingi Mpolo)Kama ilivyo kawaida ya Mpaju Sports Centre,mwaka huu pia walifanya ziara ya Mechi za kirafiki katika Kijiji cha Meta,Mbalali Mbeya ili kucheza michezo kadhaa ya kirafiki na timu za Shule ya Mpolo waliokuwa wenyeji wao na Timu… Read More
Mpaju FC yaanza Kuitikisa TanzaniaMpaju FC imetoa dalili nzuri kwa mafanikio ya kituo cha michezo cha Mpaju baada ya vijana wake watatu kufanikiwa kuwakilisha kituo kwa kushiriki mashindano ya kusaka vipaji ya TFF kupitia mkoa wa Mbeya. Vijana Emmanuel Mbwilo… Read More
KWA HERI ANITA BOUS,WEWE MBELE SISI NYUMA HAKUNA NAMNA NYEPESI YA KUMUELEZEA "MJERUMANI" ANITA BOUS. TUNACHOJUA ALITUPATIA UPENDO, UPENDO NA UPENDO. UONGOZI WA MPAJU FC UMEPOKEA KWA MASIKITIKO SANA KIFO CHA MMOJA WA WADUA WAO-ANITA BOUS (COLOGNE-GE… Read More
Mpaju Sports Centre Day- 31st Disemba 2019 Usiseme “MPAJU DAY”, Sema “MPAJU WEEK 2019, HATUA NI HATUA” Kauli mbiu ya Mpaju SC, ni BURUHANI INA MAMLAKA. Ikiwa na maana rahisi tu ya kuamini, kuwa binadamu, na hasa watoto wadogo na vijana wa kitanzania, wanayo… Read More
Mpaju Cup 2019 yahitimishwa na KIONGOZI WA CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU MBEYA MJINI -(MUFA) Mpaju Cup 2019, ni ligi ya majaribio iliyofanyika jijini Mbeya kwa vijana chini umri wa miaka 17,15 na 12.Ligi hii ya majaribio ililenga kuona uwezekano wa kuwa na ligi ya vijana wadogo Mbeya kwa kuzingatia hali halisi ya ki… Read More
0 comments:
Post a Comment