Tuesday, August 13, 2024

UHOLO SAGUMALIHA LAKINI UBAYA UBWELA

 MPAJU FC ATINISU VS ICON FC QUEENS

UBAYA UBWELA yahamia KUKAYE NDONDO CUP-MBEYA-UWANJA WA MWEGE. Mpaju Queens yatoa salamu kwa watani wake wa jadi ICON QUEENS. YAWABAMIZA  3-1, WAKUJIOKOTA QUEENS wakimbia uwanjani. Mpaju FC Queens, wanawakumbusha

WATANI WAO WA JADI ICON QUEENS kuwa siku ya Jumatatu tarehe 19 August 2024, ni siku ya "UBAYA UBWELA",hawataua undugu kutokana na  kulazimishwa mechi hiyo kuahirishwa,bali watatonesha vidonda vyote.

MPAJU FC QUEENS (a.k.a ATINISU) KUKAYE NDONDO CUP 2024 MBEYA.

Mpaju wanatuma salamu kwa ICON QUEENS kuwa UBAYA UBWELA , na kuwataarifu kuwa wataanzia PALEPALE ( MPAJU FC QUEENS (ATINISU) WACHEZA NA KUSHINDA KAMA MABINGWA HALISI WA MKOA WA MBEYA ~ Mpaju Sport Centre), lengo ni kulipiza kisasi cha kipigo kikubwa cha 2021 (LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE- MKOA WA MBEYA ~ Mpaju Sport Centre) ambacho hakikupatikana kwenye ligi (MPAJU FC (ATINISU) WAWAFUNGA ICON FC GOLI MBILI BILA MAJIBU (2-0) ~ Mpaju Sport Centre) na (LIGI YA MPIRA WA MIGUU WANAWAKE 2022/23-MBEYA ~ Mpaju Sport Centre)

UNAIKOSAJE MECHI KAMA HII?

MPAJU ATINISU WANASEMA

UHOLO SAGUMALIHA

LAKINI

UBAYA UBWELA

Related Posts:

  • LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE- MKOA WA MBEYAMPAJU FC (a.k.a ATINISU) WAANZA KWA KUKUBALI KIPIGO CHA MAGOLI 9 KWA 1 Tarehe 01 Machi 2021 kulifanyika tukio la kihistoria kwa wanasoka wa Mkoa wa Mbeya. Ligi ya Mkoa kwa Mpira wa Miguu wa Wanawake ilianza ras… Read More
  •  MPAJU WEEK 2020(Disemba 15-22)Uwanja wa Magereza Chuo-Ruanda Mbeyanani kufungua Dimba timu za wasichana?MPAJU FCVS SUPER EAGLES Mpaju FCSUPER EAGLE… Read More
  • KANDANDA SAFI LA MPAJU FC LAWA GUMZO IYUNGA-MBEYA  MPAJU FC YAPATA MASHABIKI WENGI VIWANJA VYA TAZARA NA CHUO KIKUU SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST)  Pamoja na kupoteza michezo yao yote katika mashindano ya wilaya na ule wa kirafiki na wafanyakazi wa Chuo Ki… Read More
  • Mpaju Week 2020-YAWA CHACHU KWA SOKA LA WANAWAKE MBEYAMpaju Week 2020 yaleta matumaini ya SOKA LA WANAWAKE MBEYA: Tamasha hili lenye KAULI MBIU YA JAMII YETU NDIO KIOO CHETU, lilifikia tamati siku ya Jumanne tarehe 22 Disemba 2020 pale Uwanja wa Chuo cha Magereza Mbeya, kuwakari… Read More
  • LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE - MKOA WA MBEYA MPAJU ATINISU WATISHA SANAWAWACHABANGA TUKUYU QUEENSNA KUSHIKA NAFASI YA TATUSiku ya Jumapili ya tarehe 07 Machi 2021, historia iliendelea kuandikwa kwa Mkoa wa Mbeya na kituo cha michezo cha Mpaju Sports Centre. H… Read More

0 comments:

Post a Comment