PONGEZI NI MUHIMU NA MAFUNZO NI MUHIMU ZAIDI
Tunawapongeza TDS Girls kwa ubingwa wa WRCL 2025, ushindi unaoonesha maandalizi, nidhamu, na ubora wa soka la wanawake. Mafanikio yao ni kielelezo cha kile kinachowezekana panapokuwepo msaada na mipango thabiti. Ni wazi jitihada zinazofanywa kwao zitaendelea kusambaa Tanzania kote.













