"LAWAMA HAZIJENGI,
TUACHE KUENDEKEZA FIKRA MBOVU"
Ni
vema kuanza kwa kujipa pole kama watanzania kwa mlipuko wa matokeo, ya
kushangaza kiasi cha kufanya nchi na hata pengine Dunia kupigwa na butwaa!
Maji yamekwisha mwagika, na hivyo ingekuwa vema mitandaoni kujae jinsi ya
kutatua tatizo na sio maneno ya kashfa kwa viongozi na kunyoosheana vidole