KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Wednesday, February 27, 2013

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012-TANZANIA



 "LAWAMA HAZIJENGI, 
TUACHE KUENDEKEZA FIKRA MBOVU"

Ni vema kuanza kwa kujipa pole kama watanzania kwa mlipuko wa matokeo, ya kushangaza kiasi cha kufanya nchi na hata pengine Dunia kupigwa na butwaa! Maji yamekwisha mwagika, na hivyo ingekuwa vema mitandaoni kujae jinsi ya kutatua tatizo na sio maneno ya kashfa kwa viongozi na kunyoosheana vidole