KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Saturday, March 16, 2013

SALAMA JABRI :TUONGOZE WATANZANIA KUMPATIA TREKTA KING MAJUTO

Watanzania tuyatafute matatizo yetu  na kuyatatua badala ya kuyasubiri na kuyafanya DILI.

Mzee Majuto, sisi wengi tunamfahamu kwa vichekesho vyake vyenye maadili na mafunzo kwa jamii yetu. King Majuto kwenye kipindi cha Mkasi, cha Salama Jabri (SO5E12-with Majuto:http://youtu.be/bmTuxMSmRMY) aliongea vizuri sana, na kilichonivutia zaidi katika maongezi yake, ni PAMOJA NA