KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Saturday, October 5, 2013

"ELIMU BORA MUHIMU"

1
Tunaipenda elimu, Na mimi ninayo hamu.
Si  hii Bora Elimu, Elimu ya usanamu.
Elimu Bora timamu, Bora Elimu Kuzimu.
Itufaayo Elimu,Si lazima ya kalamu.
Fikra Bora muhimu, Kuboresha Ufahamu
Makuu sio muhimu, Muhimu ndio Muhimu.
ELIMU BORA TIMAMU, HUYAMUDU MAJUKUMU.