KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Sunday, July 21, 2013

SWAIBA KAMATA NJIA


“Swaiba kamata njia, Mimi nakusubiria”
Kama ndoto nakwambia, Siku hii kuwadia
Nauli imetimia, Sasa tuache kulia.
Hebu tiketi chukua, Nini wasubiria
Swaiba kamata njia, Mimi nakusubiria.