KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Monday, July 22, 2013

SONGEA

Inauma kusikia, Songea imeumia.
SONGEA: Mwaka 1991, Yusuph Mayanga, Juma Ahmed Mpangule na Hamidu Abdalah

Nimekumbuka Songea, nimeshindwa vumilia.
Mfaranyaki tokea, majimaji tembelea.
Bombambili pandishia, Matarawe potelea
Inauma kusikia, Songea imeumia.